Monday, January 27, 2014

2014 Grammy awards

beyonce jay z

Beyonce and Jay-Z



Winners

2014 Grammy awards

Announced during the telecast:
Album of the year: Random Access Memories - Daft Punk
Record of the year: Get Lucky - Daft Punk & Pharrell Williams

Song of the year: Royals - Lorde
Best country album: Same Trailer Different Park – Kacey Musgraves

Best pop vocal album: Unorthodox Jukebox - Bruno Mars

Best rap/sung collaboration: Holy Grail - Jay Z featuring Justin Timberlake

Best pop solo performance: Royals - Lorde

Best rock song: Cut Me Some Slack - Dave Grohl, Paul McCartney, Krist Novoselic & Pat Smear

Best pop duo/group performance: Daft Punk & Pharrell's Get Lucky

Best new artist: Macklemore & Ryan Lewis

Thursday, January 16, 2014

Politicians Involved With The Illuminati

Politicians Involved With The Illuminati


Below is a list of politicians, royalty, and wealthy individuals who are alleged members of the Illuminati Global Elite (past and present) who control everything.

Politicians and wealthy Illuminati Secret Cult



  • The 13 Families (Click Here For More Information)
  • The Bush Family
  • George W. Bush
  • Bill Clinton
  • Hillary Rodham Clinton
  • Al Gore
  • Gerald Ford
  • Ronald Reagan
  • Richard Nixon
  • Lyndon B. Johnson
  • John F. Kennedy
  • Ted Kennedy
  • Henry Kissinger
  • The Rothschild Family
  • John D. Rockefeller
  • Dick Cheney
  • Bob Hope
  • Elizabeth II, Queen of Great Britain
  • Prince Philip, Duke of Edinburgh
  • Charles, Prince of Wales
  • Winston Churchill
  • Franklin D. Roosevelt
  • Joseph Stalin
  • Adolf Hitler
  • Bill Gates
  • Barack Obama
  • Alan Greenspan
  • Ben Bernanke
  • Keep in mind that while most of the people on the above list are blatant members of the Global Elite, some of them are simply alleged members or “puppets”

    49 Actors Involved With The Illuminati

    49 Actors Involved With The Illuminati



    Hollywood is an Illuminati club that offers rich rewards for obedience and servitude but delivers severe punishment for trying to escape. The Illuminati has complete control.

    Actors:

  • Paul Bettany
  • Nicolas Cage
  • Johnny Depp
  • Robert Downey Jr – (Received a 2nd Chance)
  • Matt Damon
  • Russel Crowe
  • Liam Neeson – (Wife Murdered As Threat)
  • Denzel Washington
  • Geoffrey Rush
  • Shia LeBeouf
  • Tom Cruise
  • Dennis Quaid
  • Will Smith
  • Chris Evans
  • Keanu Reeves
  • Jeremy Renner
  • Brad Pitt
  • George Clooney
  • Ashton Kutcher
  • Tyler Perry
  • Seth McFarlane
  • John Travolta
  • Heath Ledger – (Murdered For Not Complying With Illuminati Law)
  • Leonardo DiCaprio
  • Tobey McGuire
  • Robert Pattinson
  • Morgan Freeman
  • Mark Whalberg
  • Alec Baldwin
  • Bruce Lee – (Blood Sacrifice)
  • Ryan Gosling
  • Corey Feldman – (Blood Sacrifice)
  • Corey Haim – (Blood Sacrifice)

    Actresses:

  • Natalie Portman
  • Angelina Jolie
  • Megan Fox
  • Naomi Watts
  • Demi Moore
  • Willow Smith
  • Jodie Foster
  • Kristen Stewart
  • Sarah Michelle Gellar
  • Halle Berry
  • Mila Kunis
  • Lindsay Lohan
  • Brittany Murphy – (Blood Sacrifice)
  • Amber Heard
  • Selena Gomez
  • Demi Lovato
  • usicians/Bands Involved With Satanic Illuminati: 2013

    usicians/Bands Involved With Satanic Illuminati: 2013


    Sponsored By Satan:


  • Tupac Shakur (2Pac) – (Murdered For Trying To Expose Satan)
  • Ke$ha
  • Katy Perry
  • Justin Bieber
  • Chief Keef
  • Snoop Dogg
  • Skrillex (Sonny Moore)
  • Amy Winehouse – (Blood Sacrifice)
  • Britney Spears
  • Jay-Z – (Illuminati Recruit)
  • Kanye West
  • Rhianna
  • Beyonce
  • Whitney Houston – (Murdered For Trying To Expose Satan)
  • Miley Cyrus
  • Billy Ray Cyrus
  • Nicki Minaj
  • Carly Rae Jepsen
  • Lady Gaga
  • Katy Perry
  • Michael Jackson – (Murdered For Trying To Expose Stan)
  • Bob Dylan
  • Dr. Dre
  • Eminem
  • Cypress Hill
  • David Bowie
  • Madonna
  • Lil Wayne
  • Nas
  • Notorious B.I.G. – (Murdered For Trying To Expose Satan)
  • T-Pain
  • Aayliah
  • Chris Brown
  • Rick Ross
  • P-Diddy
  • Justin Timberlake – (Illuminati Recruit)
  • Drake
  • Wiz Khalifa
  • Frank Sinatra
  • Elvis Presley
  • Bob Marley
  • Rebecca Black
  • Pitbull
  • David Guetta
  • Adelle
  • Alicia Keys
  • Jennifer Lopez
  • 50 Cent
  • DMX (Ex Member)
  • Taylor Swift
  • Demi Lovato
  • Thursday, December 26, 2013

    Diamond amtambulisha Wema rasmi kama mchumba wake

    HATIMAYE! Penzi la Diamond na Wema si kificho tena, Diamond amtambulisha Wema rasmi kama mchumba wake jana
    HATIMAYE! Penzi la Diamond na Wema si kificho tena, Diamond amtambulisha Wema rasmi kama mchumba wake jana 1
    Tukio hilo lilitokea rasmi jana kwenye show ya Diamond pale leaders Club ambapo Diamond aliuliza msahabiki wake kuwa ''Mntaka kumjua mchumba wangu?'' na ndipo baada ya muda mfupi alipanda stejini mwanadada Wema Sepetu na kuanza kucheza na Diamond na kukumbatiana naye kuonesha ishara ya penzi lao jipya hilo lililorudi kwa kasi.

    Tuesday, December 10, 2013

    MAAJABU 10 MSIBA WA MANDELA

    Nelson Mandela.
    Kifo chake kimeushtua ulimwengu na kwa mara ya kwanza katika historia, dunia nzima imesimama nyuma ya jemedari huyo, kila mmoja akionesha masikitiko yake.
    Wakati dunia ikisubiri mazishi yake ambayo pia yatavunja rekodi ya mazishi yote yaliyowahi kufanywa tokea kuumbwa kwa uso wa dunia hapo Desemba 15 mwaka huu, Uwazi limebaini maajabu kumi yanayoambatana na msiba huo.
    AIR FORCE ONE KUBEBA MARAIS WATANO WA MAREKANI
    AIR Force One ni ndege inayombeba Rais wa Marekani aliye madarakani na kumpeleka popote duniani. Lakini katika hali ya kushangaza, Idara ya Usalama ya Marekani imetoa ruhusa kwa marais wastaafu wakiwa na wake zao, kuandamana na Rais Barak Obama kuhudhuria mazishi ya shujaa huyo wa dunia.
    Hii ni mara ya kwanza katika historia ya taifa hilo lenye nguvu kubwa duniani kuwapakia katika ndege hiyo yenye kila kitu ndani yake, marais wake kwa wakati mmoja.
    Marais hao ni Obama mwenyewe na mkewe Michelle, George Bush na mkewe Laura, Bill Clinton na mkewe Hillary, Rais wa 39 wa Marekani, Jimmy Carter naye atakuwepo ila baba yake George W. Bush, George Bush senior huenda asiende kutokana na urefu wa safari hiyo.
    QUNU; KIJIJI KITAKACHOLNDWA KULIKO VYOTE DUNIANI
    Mandela alizaliwa katika Kijiji cha Qunu, kilichopo katika Jimbo la Eastern Cape, kilometa 32 Kusini Magharibi mwa mji wa Mthatha.
    Kutokana na tukio hilo kubwa la mazishi, Jeshi la Afrika Kusini ambalo ni bora zaidi barani Afrika, limechukua jukumu la kusimamia ulinzi wote. Lakini uwepo wa Rais Obama na watangulizi wake wanne, utaifanya nchi hiyo kuchukua tahadhari zaidi ya kuhakikisha hakuna dosari yoyote ya kiusalama inayoweza kujitokeza.
    Ulinzi huo umeimarishwa zaidi kutokana na ukweli kwamba viongozi wakubwa karibu wote wa dunia watahudhuria mazishi hayo, akiwemo Papa Francisco, Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon. Hakuna uwezekano wowote wa Al shaabab kusababisha rabsha kwani wameshadhibitiwa kwa ulinzi mkali.
    MANDELA ALIKUWA  ‘GAIDI’ PEKEE ALIYEGEUKA KUWA SHUJAA
    Kwa miaka mingi, mataifa ya magharibi pamoja na Marekani walimchukulia Mandela na harakati zake kama gaidi. Wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, chama cha ANC kilikuwa na jeshi lake lililofahamika kama Umkhonto we Sizwe. Wazungu wa Magharibi na Marekani ambao walikuwa wakiwaunga mkono Makaburu, waliiona ANC kama kikundi cha kigaidi na hivyo Mandela naye akawekwa katika orodha ya magaidi duniani.
    Hata hivyo, baada ya kutoka jela na kuchaguliwa kuwa Rais wa Afrika Kusini, Mandela aligeuka kuwa kipenzi cha watu hao ambao walilazimika kumuondoa katika orodha ya magaidi na leo hii akiwa amefariki dunia, anapewa heshima kubwa kuliko aliyowahi kupewa mzungu yeyote duniani.
    MWEUSI PEKEE ALIYENYENYEKEWA NA WAZUNGU
    Hayati Mandela ndiye mtu mweusi pekee duniani aliyewahi kupewa heshima zisizo na mfano tokea kuumbwa kwa dunia. Mara baada ya kutangazwa kwa kifo chake, viongozi wa mataifa yote makubwa duniani walionesha masikitiko yao na kila mmoja alimsifu kama mtu wa aina ya pekee kuwahi kuwepo chini ya jua (ukiachia mbali mitume na manabii).
    JENGO LA SERIKALI NEW YORK LAPAKWA RANGI YA BENDERA YA SAUZI
    Jengo moja la serikali jijini New York, Marekani limebadilishwa taa za kulipamba na kuonesha bendera ya taifa la Afrika Kusini.
    WENYEJI WAHAMA, WAGENI WAMILIKI NYUMBA QUNU
    Kijiji cha Qunu, sehemu ambayo yatafanyika mazishi ya Mandela, kuna eneo dogo kulingana na ugeni mkubwa unaotarajiwa kuwepo. Taarifa kutoka huko zinasema wenyeji, pamoja na machungu waliyonayo kutokana na kifo cha mzee huyo, pia watafaidika kiuchumi kutokana na wageni wengi kutaka kupata nyumba za kukaa wakati wakiendelea na maombolezo.
    Wanaotafuta nyumba kijijini hapo ni pamoja na watu kutoka vyombo mbalimbali vya habari, mashirika ya kimataifa na wageni binafsi.
    Inadaiwa kuwa wenyeji wanasogea katika vijiji vya jirani ili kupangisha nyumba zao kwa muda.
    MECHI ZA LIGI KUU ENGLAND ZAANZA KWA SALA
    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Chama cha Soka cha England (FA) kiliamuru mechi zote za ligi kuu zilizochezwa wiki iliyopita, lazima zianze kwa sala maalum ya kumuenzi mzee Mandela.
    Hii ni mara ya kwanza kwa agizo hilo kutolewa kwa heshima ya kiongozi mstaafu aliyefariki dunia asiye Mwingereza, tena akitokea barani Afrika. Tukio kama hilo pia limefanywa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) ambalo limeamuru bendera yake iliyo katika mataifa yote wanachama duniani, ishushwe nusu mlingoti kwa heshima ya Tata Madiba!
    NASA YATOA ZAWADI YA  PICHA YA SAUZI KUTOKA ANGANI      
    Taasisi ya utafiti wa anga za juu nchini Marekani (NASA) kwa kutambua mchango mkubwa wa Mandela katika amani ya dunia, imetangaza kutoa zawadi kwa watu wa Afrika Kusini, itakayoonesha picha ya nchi hiyo inavyoonekana kutoka angani.
    UINGEREZA YAAGIZA BALOZI ZOTE KUSHUSHA NUSU MLINGOTI
    Serikali ya Uingereza imeziagiza balozi zote za kigeni zilizopo nchini humo kushusha bendera zao nusu mlingoti kama moja ya heshima na maombolezo ya kifo cha Mzee Nelson Mandela.
    Hili ni agizo la aina yake kuwahi kutolewa kuhusiana na msiba wa kiongozi yeyote, kwani suala la kushusha bendera mara nyingi ni uamuzi wa serikali husika na si kwa shinikizo kama ilivyotokea Uingereza.
    AMSAFIRISHA PAPA MAZISHINI
    Historia ya utumishi wa kiongozi mkuu wa Madhehebu ya Romani, papa haioneshi kama aliwahi kuhudhuria mazishi ya rais au rais mstaafu, kitendo cha Papa Francisco kuhudhuria mazishi hayo kumeongeza ajabu katika mazishi ya Mandela, wengi wakisema hakina hakuwa mtu wa kawaida.

    Chanzo na GPL